Wednesday, March 14, 2012

TLP wazindua kampeni Jimbo la Arumeru Mashariki leo

Mwenyekiti wa TLP,Mh. Agustino Mrema akihutubia wananchi katika kiwanja cha Tengeru leo wakati wa uzinduzi wa kampeni wa chama hicho uliofanyika katika uwanja huo na kumnadi Mgombea Ubunge wa Jimbo la Arumeru Mashariki kwa tiketi ya chama hicho,Bw. Alesanda Abrahamu.
Mwenyekiti wa Chama cha TLP,Mh. Agustino Mrema akimnadi Mgombea Ubunge wa Jimbo la Arumeru Mashariki kwa tiketi ya chama cha TLP,Bw. Alexanda Abrahamu kwa wananchi walioudhuria katika mkutano huo huku akiwaambia wampe kura kama yeye alivyowasaidia kuwasuluisha kipindi cha vita ya mwaka 1993.Picha na Woinde Shizza wa Globu ya Jamii,Arusha.

No comments:

Post a Comment