Thursday, March 22, 2012

WAUZA MBOLEA FEKI WAKAMATWA SONGEA

Wafanyabishara wa mbolea waliokamatwa na jeshi la polisi mkoani Ruvuma jana kwa tuhuma za kuuza  chumvi walioiweka katika mifuko ya mbolea na kuwauzia wananchi kama mbolea aina ya SA, kutoka kushoto Abdilai Abdala(42) Yasin Gawaza(48) Festo Sanga(25) na Ajda Halfan(36) wakiwa katika kituo kikuu cha polisi mjini songea.
PICHA NA MUHIDIN AMRI.

No comments:

Post a Comment