Thursday, March 22, 2012

BODI YA TASAF WAMTEMBELEA MKUU WA MKOA WA PEMBA

 Mkuu wa mkoa wa pemba Mh Juma kassim Tindwa ( katikati mwenye suti nyeupe) akiwa katika picha ya pamoja  na  ujumbe wa bodi ya Mfuko wa maendeleo ya jamii ulio chini ya ofisi ya Rais (TASAF) ulipomtembelea ofisini kwake nakumfahamisha kazi wanayo ifanya kisiwani hapo
Bi Hadiya Mwinyi Suedi akipiga ngoma huku akiongoza kikundi cha Msondo  kuburudisha  ujumbe wa bodi ya TASAF  pamoja na wafanyakazi wa taasisi hiyo walipofika katika kisiwa cha Pemba kwa ajili ya kukagua miradi inayo dhaminiwa na TASAF  

No comments:

Post a Comment