Thursday, March 22, 2012

Waziri Mkuu na Balozi wa Korea Kusini nchini wazindua chuo cha VETA cha mkoa wa Pwani

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na Balozi wa Korea Kusini nchini, Bw. Young Hoon Kim wakikata utepe kuashiria kuzindua chuo cha VETA cha mkoa wa Pwani kwenye eneo la Kongowe Machi 21, 2012. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments:

Post a Comment