Thursday, March 22, 2012

Semina Elimishi ya wajumbe wa Tume ya Utumishi wa Bunge na Kamati ya Uongozi yafunguliwa leo jijini Dar

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akitoa hotuba yake ya ufunguzi wa Semina Elimishi ya wajumbe wa Tume ya Utumishi wa Bunge na Kamati ya Uongozi katika hoteli ya White Sands jijini Dares Salaam.
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania(kushoto) akipongezwa na Mbunge wa Jimbo la Peramio, Jenister Mhagama mara baada ya kufungua , Semina Elimishi ya wajumbe wa Tume ya Utumishi wa Bunge na Kamati ya Uongozi katika hoteli ya White Sands jijini Dares Salaam.
 Baadhi ya Wabunge walioshiriki Semina Elimishi ya wajumbe wa Tume ya Utumishi wa Bunge na Kamati ya Uongozi katika hoteli ya White Sands jijini Dares Salaam leo.
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania(kushoto) akibadilishana mawazo na Mbunge wa Jimbo la Rungwe Magharibi Profesa David Mwakyusa mara baada ya kufungua , Semina Elimishi ya wajumbe wa Tume ya Utumishi wa Bunge na Kamati ya Uongozi katika hoteli ya White Sands jijini Dares Salaam.Picha zote na MAGRETH KINABO - MAELEZO

No comments:

Post a Comment