Wednesday, March 21, 2012

WAANDISHI WA HABARI JIJINI MWANZA WASHINDANA KUONJA RADHA ZA BIA ZA TBL

Mshindi wa tatu wa shindano la kuonja na kutambua radha ya bia za Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), ambalo liliwashirikisha baadhi waandishi wa habari Mkoa wa Mwanza, Emmanuel Chacha (kulia) wa ITV na Redio One, akipokea zawadi yake kwa furaha kutoka kwa Meneja wa kiwanda cha bia, TBL, Mwanza, Richmond Robert mwishoni mwa wiki.
Mwandishi wa habari wa Kampuni ya Business Times Ltd, Mwanza Jovin Mihambi akikabidhiwa zawadi ya ushindi wa pili na Meneja wa kiwanda cha bia (TBL ) Mwanza Richomnd Robert, katika shindano la kuonja na kutambua radha ya bia.
Waandishi wa habari Mkoa wa Mwanza, wakishindana kuonja na kutambua radha ya bia mwishponi mwa wiki katika Kiwanda cha Bia cha Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) cha Mwanza. Kutoka kulia ni Emmanuel Chacha wa ITV/ Redio One , Hellen Kabambo wa gazeti la Changamoto.
Waandishi walioshinda shindano la kuonja na kutambua radha ya bia wakiwa katika picha ya pamoja baada ya kukabidhiwa zawadi zao. Kutoka kushoto ni Meneja wa kiwanda cha Bia (TBL) Mwanza, Richomd Robert,, Jovin Mihambi wa Business Times, Jacquline Wanna wa gazeti la Kasi Mpya amnbaye alishika nafasi ya kwanza sawa na Henry Kavirondo , Emmanuel Chacha wa ITV na Redio One (katikatia), mshindi wa kwanza Henry Kavirondo wa Chanel Ten na Meneja Uhusiano na Mawasiliano wa TBL, Editha Mushi.
Waandishi wa habari wakimsikiliza Afisa Ubora wa Bia( TBL ) Jeremiah Kmammbi kuhusu bia inavyohifadhiwa .Waandishi walitembelea kiwanda hicho cha bia mwanza kabla ya kushiriki shindano la kuonja bia na kutambua radha ya aina ya bia.

No comments:

Post a Comment