BALOZI LIBERATA R. MULAMULA ateuliwa kuwa MSAIDIZI WA RAIS MWANDAMIZI, MASUALA YA DIPLOMASIA.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete, amemteua BALOZI LIBERATA R. MULAMULA kuwa MSAIDIZI WA RAIS MWANDAMIZI, MASUALA YA DIPLOMASIA.
Kabla ya kuteuliwa kwake Balozi Mulamula alikuwa Katibu Mtendaji wa Nchi za Maziwa Makuu (ICGLR).
No comments:
Post a Comment