Friday, March 2, 2012

swali la kizushi

Ankal michuzi salama lakini mimi nipo salama tu kuna swali hapa naomba wadau wanisaidie ni kuhusu hiki cheo cha mkuu wa sekritalieti ya halmashauri kuu ya chama na uenezi wa siasa nchini  nakumbuka sana nilikisikia mwanzoni kwa kingunge ngombali mwiru sifahamu sasa ni nani kashika hicho cheo kwa sasa Na wa sijui ni watanzania wangapi wanajua maana ya cheo hicho na kazi yake hapa nchini ntafurahi sana kupata majibu kwani nimesoma somo la siasa hapo zamani lakini sijawahi kusoma hiki cheo na maana yake

No comments:

Post a Comment