Saturday, March 3, 2012

SIOI SUMARI ATEULIWA RASMI NA CCM KUGOMBEA UBUNGE JIMBO LA ARUMERU MASHARIKI

  MGOMBEA wa CCM uchaguzi jimbo la Arumeru Mashariki, Sioi Sumari
Sioi akiwa na baadhi ya viongozi wa mkoa wa Arusha na Wilaya ya Arumeru alipopita Ofisi ya Makao Makuu ya CCM, Mtaa wa Lumumba Dar es Salaam leo muda mfupi baada ya CCM kumtangaza kuwa mgombea wake baada ya uamuzi wa Kamati Kuu leo.

No comments:

Post a Comment