Friday, March 16, 2012

nukuu ya leo

"Jamii ijenge utaratibu wa kuchunguza afya zao kila mara, kama ambavyo wengi wenye magari wafanyavyo, kwa kupeleka ‘service’ magari yao ....... Mbona tunajali zaidi magari yetu? Utasikia mtu anasema napeleka gari ‘service’ limeshatembea kilomita 3,000, lakini mtu huyu hajawahi kwenda ‘service’ ya afya yake” 
Dk. Mzige - HabariLeo 16 March 2012.

No comments:

Post a Comment