Friday, March 9, 2012

Kongamano la Wafanyakazi wanawake wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA ) kuazimisha Siku ya Kimataifa ya Wanawake

 Mheshimiwa Celina Kombani, Mheshimiwa Angellah Jasmine Kairuki, Mheshimiwa  Zainab Kawawa, Mheshimiwa Margareth Sitta, Mama Nortburga Masikini, Siham Ahmed, Mama Asia Kapoli na washiriki wengine wa Kongamano hilo la Wafanyakazi Wanawake
 Waziri wa Katiba na Sheria, Mhe Celina Kombani akifungua Kongamano la Wafanyakazi Wanawake lililofanyika  katika Ukumbi  wa Blue Pearl, Ubungo Plaza, Dar es Salaam
 Wabunge wa Viti Maalum wanaowakilisha Vyama vya Wafanyakazi- Mheshimiwa Angellah Jasmine Kairuki (kati) na Mheshimiwa Zainab Kawawa (kulia)
Picha ya pamoja baada ya ufunguzi wa kongamano hilo

No comments:

Post a Comment