![]() |
Mgeni rasmi mbunge wa Ubungo Mh John Mnyika akizungumza na wananchi wa Jimbo lake katika uzinduzi wa kampeni za kupiga vita unyanyasaji wa kijinsia |
![]() |
Mwenyekiti wa Alice Foundation Alice Ndosi na mratibu wa miradi (Kwame)Kulia wakimkabidhi Mgeni Rasmi Mbunge wa Ubungo Mh John Mnyika (katikati)Tshirt katika uzinduzi wa taasisi hiyo |
Mrs. Alice Dosi Mwamsojo akizindua rasmi kampeni ya kupiga vita unyanyasaji wa kijinsia kampeni iliyoandaliwa na na NGO ya ALICE FOUNDATION
No comments:
Post a Comment