Tuesday, March 13, 2012

jinsi profesa lipumba alivyopokewa dar

Wanachama, Wapeni pamona na wananchi waliofika uwanja wa ndege wakimsalimia Profesa Ibrahim Lipumba alipowasili jana.
Mwenyekiti wa CUF Profesa Ibrahim Lipumba Akizungumza na Waandishi wa Habari baada ya Kuwasili Uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julus Nyerere kuhusiana na ziara yake
 Mwenyekiti wa CUF Profesa Ibrahim Lipumba akiwasalimu wanachama pamoja na wapenza wa CUF waliofika Uwanja wa Ndege kumlaki. Kulia ni Katibu Mkuu wa CUF Maalim Seif Sharif Hamad na kushoto na Makamu Mwenyekiti wa CUF Machano Khamis

Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad akiwa na mwandishi wa habari wa kituo cha Radio na Televisheni cha Africa 24 bibi Camille Thomas aliyefika nyumbani kwake Maisara kwa ajili ya kuzungumza nae.Picha na Salmin Said -Ofisi Ya Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar

No comments:

Post a Comment