Sunday, March 4, 2012

Wanaokunywa Pombe muda wa kazi wakamatwa wilayani Mbinga

Mkuu wa kituo cha Polisi Wilaya ya Mbinga mjini,SSP Geofrey Ngu'hubi (kushoto) akiwasikiliza wafanya biashara ya kuuza pombe za kienyeji katika baa ya manzese wilayani mbinga baada ya kuwakamata wakifanya biashara hiyo saa za kazi huku sheria ikiwataka kufanya biashara yao baada ya saa za kazi
Baadhi ya wazee waliokutwa wakinywa pombe katika baa maarufu ya manzese wilayani mbinga,wakimsikiliza mkuu wa kituo cha polisi mbinga,SSP Geofrey Ngu'hubi (kushoto) baada ya kukamatwa na jeshi la polisi wakinywa pombe saa za kazi.

No comments:

Post a Comment