Nahodha wa Timu ya Simba,Juma Kaseja akiongoza wachezaji wenzake pamoja na kocha wao kushangilia ushindi wa timu yao dhidi ya Kiyovu ya nchini Rwanda uliomalizika jioni hii kwenye uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.Simba imeshinda 2-1 na kujihakikishia kuendelea na mashindano ya Kombe la Shirikisho.
Dakika ya 19 na 32 za mchezo,Mshambuliaji wa timu ya Simba,Felix Sunzu anaipachikia mabao 2 ya kuongoza timu yake baada ya kumalizia pasi nzuri za Mchezaji Emmanuel Okwi (Balloteli).Mpira unaendelea ambapo timu ya Kiyovu inajipoli la 1 mnamo dk ya 76 kipindi cha pili na mchezo unaendelea.
Felix Sunzu akishangilia magoli yake.
Msambuliaji wa Simba,Emmanuel Okwi achonga pasi safi kabisa iliyozaa tunda la bao la kwanza.
Washabiki wa Simba wakishangilia ushindi wa timu yao.
Kikosi cha Simba.
Kikosi cha Kiyovu.
No comments:
Post a Comment