Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akipandisha mlima Kilimanjaro wakati alipokwenda kwenye la Mamlaka ya Maeneo Maaluum ya Uzalishaji kwa Mauzo ya Nje (EPZA) Mabibo jijini Dar es salaam leo kuzindua Bodi ya Wakurugenzi wa EPZE
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiongozwa na Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Maendeo Maalum ya Uzalishaji kwa Mauzo ya Nje (EPZA), Dr. Adhelm Meru (kulia)kutelemka kutoka kwenye Mlima Kilimanjaro wakati alipokwenda kwenye eneo hilo Mabibo jijini Dar es salaam leo kuzindua Bodi ya EPZA. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
No comments:
Post a Comment