Ofisa wa Shirika la Maendeleo Japan (JICA), Minako Yamamoto (kulia), akijadiliana jambo na Ofisa wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS), Irenius Ruyobya huku akiwa amejifunga kitambaa kuziba mafua aliyonayo asiambukize watu wengine, leo wakati wa mkutano wa kukusanya maoni kwa wadau juu ya sensa inayotarajiwa kufanyika nchini Agosti, mwaka huu. Mkutano huo ulifanyika Dar es Salaam leo
Mkurugenzi Mkuu wa NBS, Albina Chuwa (katikati) akijadiliana jambo na Kamishna wa Sensa, Amina Said (kushoto) pamoja na Mshauri wa Matokeo ya Takwimu, wa Taasisi ya DFID, Phillip Cockerill wakati wa mkutano huo.
No comments:
Post a Comment