Mtoto anayeonekana kwenye picha amepotea tangu tarehe 16/02/2012, jitihada mbalimbali za kumtafuta zimefanyika lakini bila mafanikio.Anaitwa Felista Sialeo,ni mwanafunzi wa darasa la tano,shule ya msingi Mtambani,kwa mara ya mwisho alivaa sare ya shule ,yaani sketi ya blue na shati jeupe,alikuwa anaishi Tabata magengeni.
Kwa yeyote atakaye mwona,apige namba 0755382300 au 0758491854
No comments:
Post a Comment