Monday, March 5, 2012

Madereva Taxi wetu hawa

Kutokana na kuwa kila mmoja anaonekana anaharaka kumzidi mwenzie,imezipelekea gari hizi mbili ambazo zote ni za biashara (Taxi) kusimama katika eneo hili huku kila mmoja akikataa kumpisha mwenzake.hali hii imekuja kutokana na upande mmoja wa njia hiyo kusimama lori lililokuwa linashuka mizigo na kuifanya nyia hiyo kuwa ni moja tu.

No comments:

Post a Comment