Saturday, March 3, 2012

Kitabu : CHANZO, ATHARI NA TIBA ASILIA YA UGONJWA WA KITAMBI.


Mwandishi :  Gloria  Elibariki

Kitabu  hiki  kinazichambua  kwa  kina  sababu  zinazo  sababisha tatizo  la  kitambi  kwa  wanawake  na  wanaume.  Athari za  Tatizo la  Kitambi. Pamoja  na  orodha  ya  vyakula, vinywaji  na  mitishamba  inayo  tibu  tatizo  la  kitambi  kwa  uhakika  na  haraka  bila  ya madhara ( side  effects ).  

Vile  vile  ndani  ya  kitabu hiki 
utapata  kuvijua  vyakula, vinywaji  na  mitishamba   inayo  weza kukukinga  na  kupatwa  na  ugonjwa  wa  kitambi  (  kwa  wewe  ambaye  bado haujapatwa  na  tatizo  hilo  au  wewe  ambaye  umepona  tatizo 
hilo ).  Halikadhalika  ndani  ya  kitabu  hiki  utapata  kusoma shuhuda  za  watu  mbalimbali  waliopona  tatizo  la  kitambi  kwa kutumia  vyakula, vinywaji  na  dawa  za  asili..

BEI  YA  KITABU :  Kitabu  hiki  kinauzwa  kwa   shilingi  za kitanzania  Elfu  Tano  TU ( Tshs  5000/=)

Kwa  wanunuaji  wa  reja reja :
wasiliana  nasi  kwa  simu  namba :

Kwa  wanunuaji  wa  jumla:
wasiliana  nasi   kwa  simu  namba  :0682862744

Kwa  maelezo  zaidi, tutembelee :  



KARIBUNI  SANA

No comments:

Post a Comment