Mwandishi : Gloria Elibariki
Kitabu hiki kinazichambua kwa kina sababu zinazo sababisha tatizo la kitambi kwa wanawake na wanaume. Athari za Tatizo la Kitambi. Pamoja na orodha ya vyakula, vinywaji na mitishamba inayo tibu tatizo la kitambi kwa uhakika na haraka bila ya madhara ( side effects ).
Vile vile ndani ya kitabu hiki
utapata kuvijua vyakula, vinywaji na mitishamba inayo weza kukukinga na kupatwa na ugonjwa wa kitambi ( kwa wewe ambaye bado haujapatwa na tatizo hilo au wewe ambaye umepona tatizo
hilo ). Halikadhalika ndani ya kitabu hiki utapata kusoma shuhuda za watu mbalimbali waliopona tatizo la kitambi kwa kutumia vyakula, vinywaji na dawa za asili..
BEI YA KITABU : Kitabu hiki kinauzwa kwa shilingi za kitanzania Elfu Tano TU ( Tshs 5000/=)
Kwa wanunuaji wa reja reja :
wasiliana nasi kwa simu namba :
Kwa wanunuaji wa jumla:
wasiliana nasi kwa simu namba :0682862744
Kwa maelezo zaidi, tutembelee :
KARIBUNI SANA
No comments:
Post a Comment