Mgombea ubunge wa jimbo la Arumeru Mashariki kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Joshua Nassari na Meneja wake wa Kampeni, Vincent Nyerere, wakiwalisha chakula watoto yatima wanaolelewa na Kituo cha Hospitali ya Nkoaranga ya KKKT iliyopo Kata ya Poli, walipotembelea katika hospitali hiyo
Mgombea ubunge wa jimbo la Arumeru Mashariki kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Joshua Nassari na Meneja wa kampeni wake, Vincent Nyerere, wakimfariji kijina Peter Gadiel, ambaye alipata ajali ya pikipiki akiwa katika msafara wa mgombea huyo juzi, ambaye amelazwa katika hospitali ya Nkoaranga inayomilikiwa na kanisa la KKKT.
Meneja wa kampeni wa mgombea wa ubunge wa jimbo la Arumeru Mashariki kupitia Chama cha Domokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mchungaji Israel Natse (kulia), akiongoza maombi ya kuwaombea wagonjwa waliolazwa katika hospitali ya Nkoaranga iliyopo Kata ya Poli, wakati mgombea na ujumbe wake walipotembelea hospitalini. Picha na mdau Joseph Senga
No comments:
Post a Comment