Sunday, March 11, 2012

Fainali za Safari Lager Nyama Choma jijini Dar zafana sana,Kisuma Bar waibuka kidedeaaa

Mgeni Rasmi katika Fainali za Mashindano ya Safari Lager Nyama Choma,Bw. Said Mbweche kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Kinondoni (mwenye suti nyeusi) akizungumza machache kabla ya kuanza kutoa zawadi wa washindi mbali mbali wa Mashindano hayo yaliyofanyika leo na kufana sana kwenye viwanja vya Leaders Club,Kinondoni.Wengine Pichani ni wakuu wa idara ya Masoko ya TBL,Majaji wa Mashindano hayo (mwenye mavazi meupe) pamoja na Wadau wa Safari Lager.
Muwakilishi wa Bar ya Kisuma ambao ndio Washindi wa Kwanza wa Mashindano ya Safari Lager Nyama Choma jijini Dar es Salaam,Bw. Kavishe akipokea zawadi yake ya fedha taslim kiasi cha sh. Mil. 1 kutoka kwa Mgeni Rasmi,Bw. Said Mbweche.
Nyama ikiwa jikoni.
Nyama ikiandaliwa tayari kwa kwenda kwa wateja waliohudhulia fainali hizo za Safari Lager Nyama Choma.
Nyama ikiendele kuiva jikoni.

No comments:

Post a Comment