Sunday, March 11, 2012

fainali za mashindano ya chama choma yanaendelea sasa lidaz club jijini dar

 Jaji Mkuu wa mashindano ya Nyama Choma, Super  Chef  Douglas, akitumia kipima joto kupima jiko huku majaji wenzie wakisubiri kutoa maksi
 Jiko la nyama choma likipimwa joto lake
 Mpiga picha wa ITV Papaa Kaniki denda linakaribia kumdondoka anapopiga picha ndizi za Mbeya
Utaalamu wa kuchomam nyama si mchezo.

No comments:

Post a Comment