Daraja la juu linalounganisha barabara za kwenda Market Street na inayotoka Eastlegh likiwa katika matenezo na kampuni ya Kichina ambayo inajenga madaraja hayo karibu katika mitaa mbalimbali ya Jiji la Nairobi hii ni katika tatizo la kukabiliana na msongamano wa magari.Madaraja haya na jinsi nchi ya kenya inavyojitahidi kujenga madaraja haya kupunguza msongamano, Tanzania inatakiwa kuchukua changamoto kujenga madaraja hayo kama ambavyo Waziri wa Ujenzi Bw. John Pombe Magufuri, akisisitiza kwamba madaraja hayo yatajengwa, tusubiri tuone lakini kujengwa ni muhimu sana.Picha na Mashaka Mhando wa Globu ya Jamii,Nairobi
No comments:
Post a Comment