Meneja wa Bendi ya Mashujaa,Max Luhanga akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo wakati wa kumtambulisha rasmi mnenguaji machachari aliyetokea Bendi ya African Stars (Twanga Pepeta) Lilian Internet (kushoto).Kulia ni King Dodoo ambaye ni Mtaribu wa Bendi hiyo.
No comments:
Post a Comment