Na Deogratius Kilawe

Mara kadhaa imenitokea wakati nikiwa miaka ya mwishoni mwa 1990’s na mwazoi mwa mwaka 2000’s wakati ndio nilikuwa nipo sekondari nikiingia intaneti café pasipo sababu maalumu,mara nimefungua tovuti hii,ile na kwa kuwa sikuwa najua tovuti mbalimbali nikabaki najua google,yahoo,na baadhi tu,lakini kumbe kulikuwa na tovuti muhimu sana ambazo nilikuwa nakosa kupata taarifa nilizokuwa nazihitaji.
Nimeamua kwa moyo mkunjufu kushirikiana na umma kujua hili jambo,naamini sio wote lakini ni wengi huingia mitandaoni pasipo au hutaka kupata taarifa lakini kwa sababu ya kukosa taarifa ya tovuti gani nzuri na hivyo kuishia kukosa taarifa muhimu.
UKITAKA MAMBO YA BIASHARA:
MIKUTANO NA USAHILI/INTERVIEW YA ONLINE:
TAARIFA YA HABARI ZA TANZANIA, AFRIKA NA DUNIA
MASWALA YA KIROHO ,HALI YA HEWA , UBINADAMU PAMOJA NA KUJITOLEA
www. Beliefnet.com
HABARI ZA BURUDANI DUNIANI NA TANZANIA
KUJUA HABARI ,TAFITI ZA MAMBO NA VITU(MAKTABA YA DUNIA)
PICHA ZA KITAALAMU NA KUNUNUA PICHA:
MITANDAO YA KIJAMII:
KUNUNUA VITU MFANO VITABU NK.
MASWALA YA NDOA
Pangilia unachotaka kufanya kwa intaneti,usifanye tu kwa sababu linatokea,kifalsafa tunasema usipopanga jambo,sio kwamba hujapanga,ila umepanga lolote ambalo litakalo kukuta na likuchuke.Hivyo matumizi ya intanet angalia sana yasiibe sana rasilimali muda yako.
No comments:
Post a Comment