Jiji la Dar linazidi kupendeza siku hadi siku na kulifanya lizidi kuonekana ni la kimataifa zaidi,Hili ni eneo la Kariakoo ambalo kila siku zinavyozidi kwenda na ndivyo vikwangua anga vinavyozidi kuongezeka kwa kasi ya ajabu huku nyumba za chini zikiendelea kupigwa nyundozz.najua wadau hamtaacha kuosha vinywa ila ukweli utabaki pale pale kuwa maendeleo katika nchini yetu yanakwenda kwa kasi ya ajabu.
No comments:
Post a Comment