Sunday, March 11, 2012

ajali ruvu darajani

Wasamalia wema wakijaribu kumwokoa dereva wa gari aina ya Toyota Corolla, lenye namba za usajili T781 BCV, baada ya kupata ajali eneo la Ruvu Darajani mkoani Pwani na kumbana miguu ambayo yote ilivunjika.

No comments:

Post a Comment