Wednesday, March 14, 2012

MSAADA TUTANI: MDAU APOTELEWA NA NDUGUYE JIJINI DAR


Mama Sarah Samson (Mama John) wa mbagala Charambe kwa Mbiku Mtaa wa Machinjioni kwa Maharage anayefanya kazi SHIRIKA LA NYUMBA LA TAIFA  - MAKAO MAKUU anamtafuta kijana wake aliyepotea njia Ndugu Jofrey William Orondo (PICHANI JUU) . Kijana huyu ni mgeni hapa Dar es salaam akitokea UTEGI RORYA - MUSOMA. 

Kijana huyu alipotelea maeneo ya Kwambiku tangu siku ya Ijumaa 9/03/2012.
Kwa yeyote atakayemuona kijana huyu tunaomba atoe taarifa kituo cha polisi Zansa,Charambe,Maturubai au Maji Matitu au atoe taarifa kwa namba zifuatazo:


PICHA YAKE IMEAMBATANISHWA HAPO JUU.

No comments:

Post a Comment