Meneja wa Uhusiano wa shirika la hifadhi ya jamii NSSF, Eunice Chiume akikabidhi jezi kwa Mwakilishi wa timu ya TBC,Chacha Maginga kwa ajili ya michuano ya kombe la NSSF CUP inayotarajiwa kuanza siku ya Jumamosi kwenye viwanja vya TCC Sigara,Chang'ombe na Chuo Kishiriki cha Elimu Chang'ombe DUCE jijini Dar, hafla hiyo imefanyika kwenye ukumbi wa JB Belmont Hoteli,Benjamin Mkapa Tower jijini Dar es salaam.

No comments:
Post a Comment