Mama mmoja pichani ambaye jina lake halikutambulika mara moja,akiwa amembeba mtoto mdogo kama umuonavyo pichani huku akiomba msaada kwenye moja ya gari,tukio hili limetokea leo mchana kwenye barabara ya Ally Hassan Mwinyi,jijini Dar.Inaelezwa kuwa kumekuwepo na tabia baadhi ya watu kuwatumia watoto kwa ajili ya kujipatia kitu chochote,jambo ambalo linahatarisha afya na ukuaji wa malezi kupelekea kuwa si mazuri.
No comments:
Post a Comment